Show Mobile Navigation
Latest In

Monday, March 21, 2016

Arsene Wenger ni kocha wa nne kuhusishwa kufukuzwa kazi Uingereza msimu huu, hili ndio jina la mrithi wake

Wasaf media - 8:51:00 AM
Headlines za vibarua vya makocha wa Ligi Kuu Uingereza msimu huu kutoka katika vilabu vikubwa kuwa mashakani vinazidi kushika kasi kila kukicha, ilianza kwa kocha Jose Mourinho kufukuzwa kazi na Chelsea baada ya kuhusishwa kwa wiki kadhaa.
Majina ya kocha wa Man City Manuel Pellegrini, kocha wa Man United Louis van Gaal na sasa kocha wa klabu ya Arsenal aliyodumu na klabu hiyo kwa zaidi ya miaka 10 Arsene Wenger March 21 ameripotiwa kuwa huenda akafutwa kazi na nafasi yake kurithiwa na Jose Mourinho.
jose-murinho_2720804b
Jose Mourinho

You'll never believe what blonde bombshell Annalise from Neighbours looks like now…

Wasaf media - 8:48:00 AM




Neighbours Annalise Hartman Kimberley Davies looks like now
However, it is the beauty's many on-screen relationships for which she is most remembered, including a dalliance with her landlord, Lou Carpenter (Tom Oliver), just weeks after her initial appearance.
After dropping out of school, Annalise got involved with Lassiter's head chef Mark Gottlieb (Bruce Samazan), and soon after her terrifying ordeal mid-flight, he popped the question.
The actress was dubbed a 'man-magnet' after joining the soap in 1993 
REX
The actress was dubbed a 'man-magnet' after joining the soap in 1993
Kimberley Davies rose to fame as Neighbours' Annalise 
REX
Kimberley Davies rose to fame as Neighbours' Annalise

Jesse Lingard opens up on Marcus Rashford and Man Utd celebrations at the Etihad

Wasaf media - 8:43:00 AM
Rashford 
Rashford and Lingard celebrate Manchester United's win over Cit y

The victory has fuelled United's hopes of a top-four finish and the all-important Champions League qualification - while easing the pressure on manager Louis Van Gaal.

With eight games to go – five at home and three away - they are level on points with fifth-placed West Ham and only a point behind fourth-placed City.

Lingard said there was a jubilant atmosphere in the United dressing room after the derby win.

"The manager was buzzing afterwards! It is a massive result and makes it [the race for top four] interesting," he said. "But we have to take it game by game, get our recovery, get our rest and go again.

"We've had two huge games this week. I thought we could have come away with a better result against Liverpool [in the Europa League] but coming to the Etihad we had to stick to the game plan, focus on what we had to do and it was great that we got the goal.

"The win is a big boost going into the international break now. Everyone will be relaxed when they come back and then we have to kick on and focus on beating Everton.

"We have got to take it game by game still. We have game plans for set teams and when we stick to them we usually win."Louis van Gaal 
Louis van Gaal's Manchester United beat City 1-0 at the Etihad

Tuesday, March 15, 2016

Sentensi za Diamond Platnumz kuhusu utambulisho wa msanii mpya kutoka WCB

Wasaf media - 12:07:00 AM
Baada ya label ya WCB kumsaini mkali wa hit single ya Bado ‘Harmonize’ na kuendelea kufanya vizuri kwenye soko la muziki wa Tanzania.
Sasa good news nyingine iliyotolewa na staa Diamond Platnumz  ambaye ni msimamizi wa label hiyo alisema kwamba March 15 watatangaza msanii mpya waliemsaini katika label yao.
Kupitia kwenye ukurasa wa twitter aliwataarifu mashabiki kwa kuandika..’Panapo Majaaliwa Jumatano Hii Wcb_Wasafi tutamtambulisha rasmi Kijana Mwingine Mpya…tafadhali wadau tunaomba sana Support zenu’>>> Diamond

Hapa ninayo interview ya Harmonize ambaye ni msanii wa kwanza kusainiwa katika label ya WCB akizungumza jinsi alivyokutana na Diamond Platnumz


Editor's Choice